Breaking News

Your Ad Spot

Feb 18, 2015

Mwanamke afanya ukatili kwa mtoto wake aliyemzaa siku tano zilizopita..


Baby+feet
Kuna matukio ambayo huwa yanachukua headlines kubwa kwenye vyombo vya habari kutokana na sababu mbalimbali, mengine sio ya kawaida kuyasikia hivyo hata ukiyasikia lazima yawe ya kushtua.
Mwanamke mmoja Catherine wa Kenya amemuua mtoto wake aliyejifungua siku tano zilizopita na kula moyo wa mtoto huyo, kisha akaingia nyumba ya jirani yake na kuwaua watoto wengine wawili ambapo majirani walimkuta baada ya kufanya tukio hilo.
Msichana mwingine amekuja ananiambia zuzuu unakaa na watoto wote wa muzoni wanauliwa iko hapo kwa kitanda mimi nilitoka mbio.. nakuja hapa nakuta wototo wote wanauliwa iko kwa kitanda” alisema shuhuda mmoja wa tukio hilo.
Mwanamke huyo anashikiliwa kituo cha Polisi huku uchunguzi ukiendelea, mashuhuda wanahusisha tukio hilo na imani za kishirikina.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages