Ndege
ya kijeshi imeanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza na kuwaka moto wakati
inatoka kaskazini mwa uwanja huo kuelekea kusini ambapo rubani wake,
Peter Augustino Lyamunda, amevunjika mguu.
Chanzo
cha ajali hiyo ni ndege (mnyama) aliyeingia kwenye moja ya injini za
ndege hiyo ilipotaka kuruka, ikashindwa na kuanguka.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269