Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na
mwenyeji wake Rais wa Zambia Edgar Lungu pamoja na wake zao Mama Salma
Kikwete na Mama Esther Lungu wakinyanyua glasi juu wakati wa dhifa ya
kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake ambao
walifanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Zambia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na
mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa
ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia
jana jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda
wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete
jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara
ya siku mbili nchini Zambia tayari amerejea jijini Dar es Salaam.
(picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269