Breaking News

Your Ad Spot

Mar 14, 2015

MKUTANO WA CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) NA WANAHABARI KUELEKEA MAADHIMISHO YA AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI

Raisi Mstaafu wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno akiongoza Mkutano huo akiwa  Mc.

Raisi wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania  Dr. Lorna Carneiro (wapili kushoto)  akifungua Mkutano huo , wakwanza kulia ni Mkuu wa Idara ya Mpangilia wa Meno , Meno ya watoto na Afya ya Kinywa  kwa Jamii   Dr. Emeria Mugonzibwa , anaye fatia ni Mkuu wa Shule ya Kinywa na Meno dr. Elison Simon , na wakwanza kushoto ni Raisi Mteule (TDA) Ambege Mwakatobe  
Wanahabari na Wadau mbalimbali wa TDA
Madaktari na mdau wa TDA aliyevaanguo ya Njano wa pili kushoto, anaye fanya kazi Fastjet Dar es Salaam.
Madaktari wawili katikati . na Wadau mbalimbali katika mkutano huo
Afisa Masoko  wa watengenezaji wa Dawa ya WhitedentYusufu Mkunza (kulia) , akijitambulisha na kumshukuru Rais wa Chama hicho kwa kuwaalika .
Afisa Mahusiano na Masoko Fastjet Dar es Salaam,  Lucy Mbogoro (kushoto) akijitambulisha  kwa chama cha Madaktari Tanzania 
Afisa Mahusiano na Masoko Fastjet Dar es Salaam,  Lucy Mbogoro (kushoto) akikabidhi Tiketi  kwa Raisi wa  chama cha Madaktari Tanzanzania kwa Madaktari watakao kwenda Mwanza katika Shule ya Buhangija iliyo Shinyanga .
Meneja Masoko na Mawasiliano Precision akijitambulisha katika Mkutano huo
mtaalamu wa Afya ya Jamii ya Afya ya kinywa Prof. Emil Kikwilu (kulia) akijibu maswali kutoka kwa waadishi
Raisi Mstaafu wa chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno (kushoto)  akijibu maswali ya toka kwa waandishi
Mkuu wa wa Shule ya Meno Dr. Elison Simon (katikati) akitoa ufafanuzi wa jambo baada ya kuulizwa na Waandishi wa Habari pichani hawapo. kushoto ni Raisi wa chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania(TDA) na kulia ni  Mkuu wa Idara ya Mpangilia wa Meno , Meno ya watoto na Afya ya Kinywa  kwa Jamii   Dr.Emeria Mugonzibwa
Mkuu wa Idara ya Mpangilia wa Meno , Meno ya watoto na Afya ya Kinywa  kwa Jamii   Dr.Emeria Mugonzibwa, akijibu swali lililoulizwa na mwandishi wa Habari
Raisi wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania  Dr. Lorna Carneiro, katika akifunga mkutano huo, kulia ni Mkuu wa Shule ya Kinwa na Meno, Dr.Elison Simon na kushoto ni  Raisi Mteule (TDA) Ambege Mwakatobe  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages