Breaking News

Your Ad Spot

Mar 13, 2015

RAIS KIKWETE AAPISHA TUME YA UTUMISHI WA UMA

unnamed

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (Wasita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma muda mfupi baada ya Rais kuwaapisha ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.kutoka kjushoto ni Bibi Salome Mollel(Kamishna),Bibi Evelyne Itanisa(Kamishna),Bw. Mgeni Mwalimu Ally(Kamishna),Mwenyekiti wa Tume Dkt.Stephen James Bwana, Bwana George Yambesi(Kamishna),Bwana Yahya Fadhili Mbila (Kamishna) na Bibi Adieu Nyondo (Kamishna)
(picha na Freddy Maro) 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages