Breaking News

Your Ad Spot

Mar 1, 2015

RUNGWE BAND IKITUMBUIAZA KATIKA UKUMBI WA NATIONAL HOTEL ILIYOPO KEKO DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi wa Rungwe Band , akiwa na bandi hiyo  akitumbuiza katika Ukumbi wa National Hotel iliyopo keko Jijini Dar es Salam
 Mussa Karenga Muimbaji wa Rungwe Band kushoto, ambaye ni Mtoto wa marehemu shem Karenga, wakitumbuiza katika Ukumbi wa National Hotel iliyopo keko Jijini Dar es Salam kila Ijumamosi katika Ukumbi huo.

 
Muimbaji  wa Rungwe Band ambaye ni Mtoto  wa marehemu shem Karenga   , Mussa Karenga  akifanya vitu vyake usiku huu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages