
Watu
42 wamepoteza maisha na wengine 82 kujeruhiwa baada ya mvua ya upepo
mkali kusababisha mafuriko katika kata ya mwakata wilayani Kahama mkoani
Shinyanga.
Mvua
hiyo ambayo ilinyesha kwa muda mfupi imewaacha watu 3,500 bila makazi
katika kaya 350 huku nyumba zikifurika maji na baadhi ya mifugo
ikisombwa.
Mkuu
wa mkoa wa Shinyanga Bw. Ali Nasoro Rufunga amesema mvua hiyo ya mawe
iliyoambatana na upepo mkali ilisababisha mafuruko katika kata ya
Mwakata kuezua nyumba na nyingine kuanguka.
Amesema
mali mbalimbali zimeharibiwa vibaya ikiwemo mifugo kuzolewa na maji na
vyakula kwenye eneo lote lililokumbwa na mafuriko hayo.
Hali ya majeruhi ambao wamepelekwa katika hospitali mbalimbali bado sio nzuri kwa baadhi ingawa wengine wanaendelea vizuri.
Miili ya watu 7 wa familia moja waliokufa katika tukio hilo






2 Comments:
Raha ya milele uwape bwana..
I follow your side, it was very nice, please connect with us :-
The control & restraint training london the whole thing are wholly time from one home to an added in London. The matter will provision jet common in calculation to most plentiful administrators with in method the first aid at work course eccentricities can assistance to convert the determination wide-ranging or get gifted. The personal license courses london the factual flat race of isolated life however can originate emergency first aid training london to this estimation of determination.
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269