Breaking News

Your Ad Spot

May 23, 2015

DK. SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA NEC YA CCM MJINI DODOMA LEO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti leo kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma, tarehe 23 Mei 2015.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, leo katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, Kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Dk. Seif Ali Idi  na kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Ali Vuai Ali.

ZIFUATAZO CHINI NI WAJUMBE MBALIMBALI KATIKA KIKAO HICH



 

 



No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages