Breaking News

Your Ad Spot

May 23, 2015

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM LEO

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa amewasili katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma , kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) leo, jioni. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ras wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribsha Rais Kikwete kufungua kikao hicho.
Rais Kikwete kabla hajaanza kufungua kikao
Rais Kikwete akitoa hotuba kwa Wajumbe kabla ya kufungua kikao hicho.
"CHAMA KWANZA MTU BAADAYE" Rais Kikwete akisisitiza wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho cha Halmashauri Kuu ya CCM, mjini Dodoma, leo jioni. Chini ni picha zaidi kuhusiana na kikao hicho... 


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages