Breaking News

Your Ad Spot

Jun 27, 2015

HARAKATI ZA NYALANDU KUSAKA WADHANINI

 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, na mkewe Faraja, wakilakiwa na mamia ya wanachama wakati wakiwasili kwenye Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, kuomba udhamini kwa wanachama wenzake. Nyalandu anawania kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi ya urais.















No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages