Mkurugenzi mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania,
Bw.Ian Mclachan (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika ufukwe wa
Bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree huku akishirikiana bega kwa
bega na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Hoteli ya Double Tree By
Hilton, Bw. Yehia Elmansoury (wa kwanza kushoto).
Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Double Tree by Hilton, Bw. Florenso
Kirambata(kushoto) akifanya usafi wa mazingira katika fukwe
inayoizunguka hoteli hiyo ya jijini Dar es Salaam huku akiwa pamoja na
mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo.
Baadhi ya uchafu uliokuwa katoka fukwe ya Bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree by Hilton ya jijini Dar.
Wafanyakazi wa hoteli ya Double Tree ya jijini Dar es Salaam wakifanya usafi maeneo yote yanayoizunguka hoteli hiyo
Wafanyakazi wa hoteli ya Double Tree ya jijini Dar es Salaam
wakiongozwa na Mkurugenzi mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini
Tanzania, Bw.Ian Mclachan (wa kwanza kulia) wakiwa na mifuko ya uchafu
katika picha ya pamoja mara tu ya kumalizika kwa usafi uliofanyika
kwenye fukwe zinazoizunguka Hotel hiyo.
Wafanyakazi wakiweka uchafu kwenye gari la kubebea taka mara baada ya kumaliza kufanya usafi
Viongozi
na wafanyakazi wa Hoteli ya Double Tree by Hilton ya jijini Dar es
Salaam wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya Hotel hiyo mara baada ya
kumaliza kufanya usafi. Picha na Geofrey wa Pamoja Blog
kawaida
Mkurugenzi mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania,
Bw.Ian Mclachan (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika ufukwe wa
Bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree huku akishirikiana bega kwa
bega na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Hoteli ya Double Tree By
Hilton, Bw. Yehia Elmansoury (wa kwanza kushoto).
Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Double Tree by Hilton, Bw. Florenso
Kirambata(kushoto) akifanya usafi wa mazingira katika fukwe
inayoizunguka hoteli hiyo ya jijini Dar es Salaam huku akiwa pamoja na
mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo.
Baadhi ya uchafu uliokuwa katoka fukwe ya Bahari inayoizunguka Hoteli ya
Double Tree by Hilton ya jijini Dar.
Wafanyakazi wa hoteli ya Double Tree ya jijini Dar es Salaam wakifanya
usafi maeneo yote yanayoizunguka hoteli hiyo
Wafanyakazi wa hoteli ya Double Tree ya jijini Dar es Salaam wakiongozwa
na Mkurugenzi mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania,
Bw.Ian Mclachan (wa kwanza kulia) wakiwa na mifuko ya uchafu katika
picha ya pamoja mara tu ya kumalizika kwa usafi uliofanyika kwenye fukwe
zinazoizunguka Hotel hiyo.
Wafanyakazi wakiweka uchafu kwenye gari la kubebea taka mara baada ya
kumaliza kufanya usafi
Viongozi na wafanyakazi wa Hoteli ya Double Tree by Hilton ya jijini Dar
es Salaam wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya Hotel hiyo mara baada ya
kumaliza kufanya usafi. Picha na Geofrey wa Pamoja Blog
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269