Breaking News

Your Ad Spot

Jun 1, 2015

MARAIS WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU WAKUTANA JIJINI DAR ES SAAAM, KATIKA MAZUNGUMZO YA AMANI BURUNDI

1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi jana.
2
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
3
ais Dkt.Jakaya Mrisho  Kikwete  akizungumza na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Dkt.Nksazana Dlamini Zuma Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa mazungumzo ya amani ya Burundi jana
4
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha Ikulu  marais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini na Rais Yoweri Museveni wakati wa mkutano wa wakuu wan chi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohusu mazungumzo ya amani ya Burundi jana.
5 6 7
Marais wakiwa katika mazungumzo ya amani ya burundi Ikulu jijini Dar es salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages