Breaking News

Your Ad Spot

Jun 4, 2015

OFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA GHALA LA KUHIFADHI VIFAA VYA MAAFA MKOANI SHINYANGA

01
Mtunza ghala la kuhifadhi vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, Asha Issa akiwaonesha Wakaguzi wa Hesabu za Serikali, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini, Jacob Ndaki (katikati) na John Obeid, rangi zitumiwazo na wanafunzi kuchora zilizo hifadhiwa ghalani hapo, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo, tarehe 3 Juni, 2015.
02
Baadhi  ya marobota ya mablangeti yaliyohifadhiwa katika ghala la kuhifadhi vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo,
03
Baadhi ya makasha yaliyohifadhi vifaa vya maafa katika ghala la kuhifadhi vifaa hivyo mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo,

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages