Mtunza
ghala la kuhifadhi vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, Asha Issa
akiwaonesha Wakaguzi wa Hesabu za Serikali, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali nchini, Jacob Ndaki (katikati) na John Obeid, rangi
zitumiwazo na wanafunzi kuchora zilizo hifadhiwa ghalani hapo, wakati
Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo, tarehe 3 Juni, 2015.
Baadhi
ya marobota ya mablangeti yaliyohifadhiwa katika ghala la kuhifadhi
vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua
ghala hilo,
Baadhi
ya makasha yaliyohifadhi vifaa vya maafa katika ghala la kuhifadhi
vifaa hivyo mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua
ghala hilo,
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269