|
Promota
Stamili Mmtengwa katikati akiwainuwa juu mabondia Mwanne Haji kushoto
na Lulu Kayage baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao
utakaofanyika leo siku ya Sikukuu ya Iddi Mosi katika ukumbi wa Friends Corner,
Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Mabondia
Mmwanne Haji kushoto na Lulu Kayage wakitunishiana misuli baada ya
kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya Iddi Mosi
Katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
|
Bondia Lulu Kayage akipimwa na Ddokta Michael Madadidi kwa ajili ya mpambano wake na mwanne Haji |
|
Promota Stamili Mmtengwa katikati akiwainuwa juu mabondia Habibu Pengo kushoto na Yonas Segu |
|
Bondia Mwanne Hhaji akipimwa Afya na Dokta Mmixchael Midadi |
Bondia Lulu Kayage akipimwa na Ddokta Michael Madadidi kwa ajili ya mpambano wake na mwanne Haji
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269