Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Dr.Xu Zhuogun (kushoto) Kiongozi
wa Ujumbe wa madaktari wapya wa Kichina waliofika Ikulu mjini Zanzibar
kusalimiana na Rais (katikati) Balozi wa China nchini Tanzania Xie
Yunliang
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
(kulia) akizungumza na Ujumbe wa madaktari wapya wa Kichina waliofika
Ikulu
mjini Zanzibar kusalimiana na Rais(wa pili kulia) Balozi wa China nchini
Tanzania Xie Yunliang,akifuatiwa na Kiongozi wa Ujumbe huo Dr.Xu
Zhuogun
Baadhi ya Madaktari wa Kichina waliofika ikulu mjini Zanzibar kuonana na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein madaktari
hawa watakuwepo nchini kushirikiana na madaktari wazalendo kutoa huduma
katika Hospitali mbali mbali Unguja na Pemba (Picha na Ikulu, Zanzibar).
Your Ad Spot
Jul 18, 2015
MADAKTARI KUTOKA CHINA WAENDA KUMSALIMIA DK. SHEIN, IKULU MJINI ZANZIBAR
Tags
theNkoromo Blog 2015#
Share This
About Bashir Nkoromo
theNkoromo Blog 2015
Tags
theNkoromo Blog 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269