Breaking News

Your Ad Spot

Jul 18, 2015

MADAKTARI KUTOKA CHINA WAENDA KUMSALIMIA DK. SHEIN, IKULU MJINI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Dr.Xu Zhuogun (kushoto) Kiongozi wa Ujumbe wa madaktari wapya wa Kichina  waliofika Ikulu mjini Zanzibar kusalimiana na Rais (katikati) Balozi wa China nchini Tanzania Xie Yunliang

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa madaktari wapya wa Kichina  waliofika Ikulu mjini Zanzibar kusalimiana na Rais(wa pili kulia) Balozi wa China nchini Tanzania Xie Yunliang,akifuatiwa na Kiongozi wa Ujumbe huo  Dr.Xu Zhuogun

Baadhi ya Madaktari wa Kichina waliofika ikulu mjini Zanzibar  kuonana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein madaktari hawa watakuwepo nchini kushirikiana na madaktari wazalendo kutoa huduma katika Hospitali mbali mbali Unguja na Pemba (Picha na Ikulu, Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages