Waandishi wa habari katika Mkutano ulioitishwa na Kamanda wa Polisi wakanda maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
Baadhi
ya Bunduki zilizo porwa katika kituo cha Polisi cha Staki Shari Dar es
Salaam zikionyeshwa kwa waandishi wa habari Dar es Salaa
Sehemu ya Waandishi wa habari
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova akizungumza na waandishi wa habari
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova akionyesha baadhi ya bunduki zilizoporwa katika kituo cha polisi
cha sitaki shari leo
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova akionyesha, fedha Tsh. Milioni 170, zilizokuwa zimechimbiwa shimo na majambazi hao zikiwemo na bunduki
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova akionyesha majina ya majambazi hao
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova akionyesha baadhi ya pikipiki zilizo kuwa zikitumiwa na majambazi hao
Baadhi ya askari na waandishi wakimsikiliza Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina
Suleimani Kova alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari
SILAHA ZILIZOPORWA NA
MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI ZANASWA
Baadhi ya silaha zilizoporwa na majambazi walivamia Kituo cha Polisi
cha Stakishari Ukonga, na kuua polisi wanne na raia watatu zikioneshwa
leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,
katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam baada ya kuzikamata katika
msako mkubwa na kuzikuta zikiwa zimefukiwa chini wilayani Mkuranga,
Pwani, ambapo pia walikuta kwenye sanduku la chuma sh. mil. 170.
Majambazi watano wamekamatwa na wengine watatu walikufa walipokuwa
wakikimbizwa Hospitali baada ya kujeruhiwa katika mapambano makali na
polisi. Jumla ya silaha 16 zilikamatwa zikiwemo 14 zilizoporwa
Stakishari. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Pia baada ya kufukua kwenye shimo katikati ya msitu/vichaka katika
Kijiji cha Mandimkongo, Kata ya Bupu, wilayani Mkuranga,walikuta sanduku
la chuma likiwa na sh. mil. 170 noti za elfu kumi na elfu tano.
Majambazi waliokufa ni Abbas Hashim, Mkazi wa Mbagala, Yasin Mkazi wa
Kitunda Kivule na Said Mkazi wa Kitunda Kivule.
Fedha sh. mil 170 zilivyokuwa zimepangwa kwenye sanduku la chuma na
kufukiwa chini
Baadhi ya pikipiki zlizotumiwa na majambazi walipovamia kituo cha
polisi cha Stakishari
Picha za majambazi wanaoendelea kutafutwa
Pikipiki zilizotumika katika tukio la iujambazi katika Kituo cha Polisi
Stakishari
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
SILAHA ZILIZOPORWA NA
MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI ZANASWA
Baadhi ya silaha zilizoporwa na majambazi walivamia Kituo cha Polisi
cha Stakishari Ukonga, na kuua polisi wanne na raia watatu zikioneshwa
leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,
katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam baada ya kuzikamata katika
msako mkubwa na kuzikuta zikiwa zimefukiwa chini wilayani Mkuranga,
Pwani, ambapo pia walikuta kwenye sanduku la chuma sh. mil. 170.
Majambazi watano wamekamatwa na wengine watatu walikufa walipokuwa
wakikimbizwa Hospitali baada ya kujeruhiwa katika mapambano makali na
polisi. Jumla ya silaha 16 zilikamatwa zikiwemo 14 zilizoporwa
Stakishari. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Pia baada ya kufukua kwenye shimo katikati ya msitu/vichaka katika
Kijiji cha Mandimkongo, Kata ya Bupu, wilayani Mkuranga,walikuta sanduku
la chuma likiwa na sh. mil. 170 noti za elfu kumi na elfu tano.
Majambazi waliokufa ni Abbas Hashim, Mkazi wa Mbagala, Yasin Mkazi wa
Kitunda Kivule na Said Mkazi wa Kitunda Kivule.
Fedha sh. mil 170 zilivyokuwa zimepangwa kwenye sanduku la chuma na
kufukiwa chini
Baadhi ya pikipiki zlizotumiwa na majambazi walipovamia kituo cha
polisi cha Stakishari
Picha za majambazi wanaoendelea kutafutwa
Pikipiki zilizotumika katika tukio la iujambazi katika Kituo cha Polisi
Stakishari
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
SILAHA ZILIZOPORWA NA
MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI ZANASWA
Baadhi ya silaha zilizoporwa na majambazi walivamia Kituo cha Polisi
cha Stakishari Ukonga, na kuua polisi wanne na raia watatu zikioneshwa
leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,
katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam baada ya kuzikamata katika
msako mkubwa na kuzikuta zikiwa zimefukiwa chini wilayani Mkuranga,
Pwani, ambapo pia walikuta kwenye sanduku la chuma sh. mil. 170.
Majambazi watano wamekamatwa na wengine watatu walikufa walipokuwa
wakikimbizwa Hospitali baada ya kujeruhiwa katika mapambano makali na
polisi. Jumla ya silaha 16 zilikamatwa zikiwemo 14 zilizoporwa
Stakishari. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Pia baada ya kufukua kwenye shimo katikati ya msitu/vichaka katika
Kijiji cha Mandimkongo, Kata ya Bupu, wilayani Mkuranga,walikuta sanduku
la chuma likiwa na sh. mil. 170 noti za elfu kumi na elfu tano.
Majambazi waliokufa ni Abbas Hashim, Mkazi wa Mbagala, Yasin Mkazi wa
Kitunda Kivule na Said Mkazi wa Kitunda Kivule.
Fedha sh. mil 170 zilivyokuwa zimepangwa kwenye sanduku la chuma na
kufukiwa chini
Baadhi ya pikipiki zlizotumiwa na majambazi walipovamia kituo cha
polisi cha Stakishari
Picha za majambazi wanaoendelea kutafutwa
Pikipiki zilizotumika katika tukio la iujambazi katika Kituo cha Polisi
Stakishari
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269