Breaking News

Your Ad Spot

Jul 8, 2015

MBUNGE JOSHUA NASSARI ( CHADEMA) APATA AJARI YA HELIKOPTA

Mbunge amekimbizwa ktk Hosptal ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine kavunjika mguu.
Tupo jimboni na tunawatoa hofu wananchi wote waliopata taaruki jimboni kuwa Mbunge ni mzima amepatwa na majeraha kidogo!
Mbunge Joshua Nassari(CHADEMA) amepata ajali baada ya Helikopta aliyokuwa akiitumia kukumbwa na dhoruba
- Yeye ni mzima lakini aliokuwa nao wamejeruhiwa kiasi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages