Breaking News

Your Ad Spot

Sep 17, 2015

RAIS KIKWETE AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIO WATEUWA HIVI KARIBUNI DAR ES SALAAM

  Rais  Kikwete akimwapisha aliyekuwa Naibu Waziri wa Maji Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mko wa Kilimanjaro (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Rais Kikwete akimkabidhi mkuu wa mkoa  vitembea kazi
   Rais Jakaya  Kikwete akimwapisha aliyekuwa mkuu wa wilaya ya morogoro kuwa mkuu wa mkoa wa Lindi



 Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Dk. Tulia Ackson kuwa Naibu mwasheria mkuu wa Serikali katika hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam, kabla ya kushika wadhifahuo, Ackson alikuwa mhadhiri mwandamizi, Chuo kikuu cha Dar es Salaam (USDM) Kitivo cha sheria

 Rais  Jakaya  Kikwete akimwapisha Bi. Victoria Richard Mwakasege aliyekuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini Burundi. Balozi Victoria R. Mwakasege anaiwakilisha Tanzania nchini Malawi. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 16 September, 2015
 Rais Kikwete akimkabidhi Balozi Mwakasege vitendea kazi
 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha aliyekuwa  Kaimu Mkurugenzi  wa Idara ya Afrika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi.Zuhura Bundala kuwa Balozi na Msaidizi wa Rais (Diplomasia) anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Samweli Shelukindo.
 Balozi Bundara   akisaini kiapo chake mbele ya Rais Kikwete
 Rais Kikwete akimkabidhi Balozi Bundara vitendea kazi
 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ubalozi wa Tanzania, Kampala, Uganda Bi. Anisa Mbega kuwa Balozi na Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

 Rais Kikwete akimkabidhi Balozi Mbega vitendea kazi







 Mhe. Rais Kikwete (wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mbega na wanafamilia.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wapya pamoja na Waziri Membe, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Vitengo na watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages