Breaking News

Your Ad Spot

Oct 16, 2015

DARAJA LAANGUKA NA KUWAUWA 3 AFRIKA KUSINI


Watu watatu sasa wamethibitishwa kufariki baada ya daraja la mda kuangukia barabara kuu ya magari mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya jumatano.
Watu wengine 19 walijeruhiwa katika kisa hicho ,kulingana na shirika la huduma za dharura nchini humo.
Meya wa Johannesburg amesema kuwa iwapo uchunguzi wao utabaini kwamba kuanguka kwa daraja hilo kunatokana na uzembe, wale waliohusika watawajibishwa kulingana na mwandishi wa BBC Pumza Filhani mjini humo.
Kampuni ya ujenzi nchini Afrika Kusini Murray & Robert imeanzisha uchunguzi wake.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages