Breaking News

Your Ad Spot

Oct 28, 2015

MAREKANI YASIKITISHWA NA TAMKO LA ZEC KUFUTA UCHAGUZI ZANZIBAR

Marekani yasikitishwa na tamko la ZEC kufuta uchaguzi Z’bar
Serikali ya Marekani imesema imestushwa na tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambapo ametamka kusudio lake la kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages