Breaking News

Your Ad Spot

Oct 2, 2015

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA TEMEKE (CCM) ABBAS MTEMVU AKIWA MGENI RASMI UTOAJI VYETI SHULE YA MSINGI SHALOM KURASINI DAR ES SALAAM

 Mwalimu wa Michezo Arnold Sangawe ambae alikuwa mshehereshaji (MC) wa shuguli hiyo.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Mgombea Ubunge Abbas Mtemvu akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipo wasili Shule ya Msingi Shalom iliyopo Kurasini Jijini Dar es Salaam
  Mgombea Ubunge Abbas Mtemvu akisalimiana na Askofu John Rwezahura mara baada ya mbunge huyo kutowa vyeti kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Shalom iliyopo Kurasini Jijini Dar es Salaam ambapo ni mahafali ya 11.




Sehemu ya Wanafunzi wa darasa la Awali (chekechea)  wakimsikiliza kwa makini Mgeni Rasmi Mgombea Ubunge Abbas Mtemvu alipokuwa akizungumza wakati wa Mahafali ya 11 ya darasa la Saba

Mzazi wa mwanafunzi Mary Mkozi  anaye maliza darasa la Saba,  June  Samwel ambaye ni Afisa Muuguzi wa Hospitali  ya Taifa Muhimbili  akisakata muziki wa Dini wakati wa Mahafali ya 11 katika Shule ya Shalom iliyopo Kurasini Jijini Dar es Salaam
Mary Mkozi, mwanafunzi anae maliza darasa la Saba akiwa na waalimu wake  na alie kusho ni mama wa mwanafunzi huyo June Samwel ambae ni Afisa Muuguzi wa Hospitali  ya Taifa Muhimbili na Mkuu wa Kitengo cha Clinic za Nje katika Hospitali hiyo





















No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages