Breaking News

Your Ad Spot

Oct 30, 2015

VIDEO MBALIMBALI ZA SHEREHE YA DK.MAGUFULI NA MAMA SAMIA KUKABIDHIWA VYETI VYAO VYA USHINDI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

1. Hafla ya kutangazwa rasmi mshindi wa urais 2015 kutokaa ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar Es Salaam; Washiriki wa mbio za urais wa vyama vya siasa pamoja na viongozi mbalimbali katika hafla za kutangazwa mshindi wa urais 2015; BOFYA HAPA 

2. MKurugenzi wa NEC Ramadhan Kailima akitoa tathmini ya mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka 2015;
BOFYA HAPA 

3. Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu, Damian Lubuva akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi 2015 katika hafla ya kutangazwa mshindi wa urais 2015;
 BOFYA HAPA 

4. Rais Mteule Dk.John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan wakipokea vyeti vyaa ushindi wa Urais na Umakamu wa Rais wa Tanzania 2015; 
BOFYA HAPA 

5. Aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anna Mghwira akizungumza na kumkabidhi Dk. Magufuli  ilani ya ACT Wazalendo; 
BOFYA HAPA 

6. Viongozi mbalimbali wakishiriki kupiga picha za kumbukumbu wakati wa hafla hiyo ya Dk. Magufuli na Mama Samia kukabidhiwa vyeti;
BOFYA HAPA 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages