Mratibu
wa Kampeni Jimbo la Temeke na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (W)
Temeke Mustafa Hakika, akimnadi Mgombea Ubunge kupitia Chama
hicho,wakati wa Mkutano wa hadhara wa mgombea Ubunge Jimbo la Temeke.
Dar es Salaam, kulia ni Mgombea Udiwani kupitia CCM na ni Kepten Kenny
Makinda.(PICHA NA KHAMISI MUSSA) UJIJIRAHAA BLOG
Wanachama
Katibu Mwenezi wa Jimbo la Temeke, Ali Kamtande akihutubia jukwaani
Wanacha wakipunga mikono
Mgombea Udiwani Viti maalum Kata Amina Lalani akihutubia jukwaaniwakati wa mkutano huo
Mgombea Ubunge Abbas Mtemvu akionyesha Kadi kati ya wanachama walio rudisha kadi wakitokea vyama vya upinzani
Badhi
ya madereva wa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu wakimfariji
dereva mwenzao baada ya kuvamiwa na wanaosadikiwa ni vijana wa Mitaani
walio uvamia msafara wa mbunge huyo alipokuwa katika kapeni zake za
kunadi sera za chama cha Mapinduzi katika Jimbo lake la Temeke,
walirushiwa mawe na wengi kujeruhiwa na gari kuvunjwa vioo
| Add caption |
Mjumbe
wa Halmashauri Kuu Kata ya Vituka.Selemani Ally (kulia) alisalimiana
na Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu na kushoto ni Mgombea
Ubunge Jimbo la KisaraweMkoa wa Pwani Seleman Jaffo
Mwanafunzi
wa Darasa la 4 katika shule ya msingi Uwanja wa Ndege Hamida Shabani
(wa kwanza kushoto) akiwaongoza wenzake kuimba ngonjela wakati wa
mkutano wa hadhara wa mgombea Ubunge Jimbo la Temeke.
Katibu wa CCM wa Yombo Vituka Rashidi Manjasi akihutubia katika mkutano huo
Wamama wa cha cha Mapinduzi wakiwa katika mkutano huo wakisikiliza Sera na Ilani ya chama hicho
Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akizindua Shina la wakereketwa kati ya mashina 9 yalizinduliwa
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269