Breaking News

Your Ad Spot

Oct 25, 2015

WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA AMANI NA UTULIVU VITUO VYA NZASA,KENTONI, USTAWI WA JAMII NA MPAKANI 'A' KIJITONYAMA JIJINI DAR ES SALAAM


Mmoja wa wakazi wa Kijitonyama mpakani akipiga Kura yake
KITUO CHA KUPIGIA KURA NZASA
Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Nzasa wakiwa wanangoja kupiga Kura
Bado wakazi wa Nzasa wanangoja kupiga Kura
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao ili kujua wanatakiwa wakae sehemu gani kabla ya kupiga kura
Ulinzi pia ukiwa umeimarishwa hali ni Shwari
Wengine wanaamua kungojea pembeni kidogo
Leo shughuli zimesimama kupisha uchaguzi mkuu
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA  KENTON
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao kabla ya kuingia kwa ajili ya kupiga Kura 2015
Baadhi ya watu wakiwa wamepanga mistari kwa ajili ya kungoja kupiga kura
Kutokana na Foleni kuchangamka Baadhi yao wanaonekana kupumzika chini
Watu mbalimbali wakingojea kupiga Kura
watu wengi kituo cha Kenton
Waliokuwa wakichati wakachati sana kuperuzi na wengine wakawa bizee bizeee na kusoma Magazeti huku wakingojea Kupiga Kura 
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA USTAWI WA JAMII
Hapa ni Chuo cha Ustawi wa Jamii ambapo pia kuna watu wamejitokeza kwa wingi kupiga Kura
Bado wanaendelea kungojea
Wengine wamekaa wakisubili kupiga Kura
Baadhi yao wamesimama Pembeni wakingoja pia kupiga Kura
Mmoja ya wazee akiwa anasaidiwa kutembea kwenda kupiga Kura 
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA  MPAKANI A KIJITONYAMA
Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika kituo hiki cha Mpakani Kijitonyama
Kazi zikiwa zinaendelea
Umati wa watu ni Mkubwa lakini watu wanaendelea kungoja wapige Kura

Mmoja ya akinamama akiwa anapigia tiki viongozi ambao anawataka

Picha zote na Fredy (Njeje-Blogs za Mikoa Tanzania)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages