Breaking News

Your Ad Spot

Nov 18, 2015

MAHAFALI YA 45 YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

 Brass Band ikiongoza msafara wa maandamano ya Mahafali ya 45 ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
 Maprofesa na Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiwa katika Maandamano ya Mahafali ya 45 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakwanza kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru.
 Wananchi wakipata matukio wakati msafara wa Maandamano ya wahitimu walipokuwa wakipita mbele yao.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages