Breaking News

Your Ad Spot

Dec 31, 2015

KUWAIT YAMPONGEZA NAIBU WAZIRI DKT. SUSAN KOLIMBA


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini,  Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Dec 31, 2015



Balozi Al Najib akimkabidhi  Dkt. Kolimba salamu za pongezi kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait



Sehemu ya ujumbe kutoka Wizarani wakifuatilia mazungumzo kati ya  Dkt. Kolimba na Balozi wa Kuwait hapa nchini (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Batholomeo Jungu, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Tahir Bakari, Afisa Mambo ya Nje na Bw. Adam Isara, Msaidizi wa Naibu Waziri.



Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages