Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Susan Kolimba
(Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Nassem Ibrahim Al
Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa
Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Dec 31, 2015
Balozi Al Najib akimkabidhi Dkt. Kolimba salamu za pongezi kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa
Kuwait
Sehemu ya ujumbe kutoka Wizarani
wakifuatilia mazungumzo kati ya Dkt. Kolimba na Balozi wa Kuwait hapa
nchini (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Batholomeo Jungu, Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Tahir Bakari, Afisa Mambo ya Nje
na Bw. Adam Isara, Msaidizi wa Naibu Waziri.
Picha ya pamoja
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269