Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Katibu
Msaidizi Mkoa wa Magharibi Zanzibar Suleiman Mzee (CHARAS)
alipowasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume Zanzibar Dec 24, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria Maulid ya kuzaliwa Mtume
Muhammad (S.A.W).
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaafu Mohammed Gharib Bilal,
alipowasili nyumbani kwake Migombani Zanzibar Dec 24, 2015 kwa
ajili ya kuhudhuria Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
yanayofanyika kila mwaka.
Makamu
wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohammed
Gharib Bilal katikati, akiwatambulisha wake zake kwa Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
kushoto alipowasili nyumbani kwake Migombani Zanzibar Dec
24, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad
(S.A.W) yanayofanyika kila mwaka. Picha na OMR
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269