Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa na Rais Mstaafu, Ali Hassn Mwinyi wakisikiliza
Kasida katika Baraza la Iddi lililohutubiwa na Waziri Mkuu kwenye ukumbi
wa Karimjee jijini Dar es salaam Dec 24, 2015. Wapili kushoto ni
Sheikh Mkuu wa Tanzania Kufti Abubakari Zuberi na kushoto ni Kadhi Mkuu
wa Tanzania Alhaji Mnyasi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Salim Ahmed Salim (wakwanza kushoto) na wapili kulia ni Mkurugenzi wa NEC Ramadhani Kailima
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269