Spika
wa Bunge Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Tulia
Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa
kwa ajili ya matibabu.
Spika
wa Bunge Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Tulia
Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa
kwa ajili ya matibabu.
Spika
wa Bunge Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishati na
Madini Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege
wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere Jijini ni Dar es salaam akitokea Nchini
India alikokuwa kwa ajili ya matibabu. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Tulia Ackson na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo Anastazia Wambula na aliyeko kulia ni Katibu wa Bunge
Dkt. Thomas Kashililah.
Spika
wa Bunge Job Ndugai na Mkewe wakisalimiana na Katibu wa Bunge Dkt.
Thomas Kashililah mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini
India alikokuwa kwa matibabu.
Katibu
wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akifafanua jambo kwa Spika wa Bunge Job Ndugai mara baada ya kumpokea katika uwanja Ndege wa Kimataifa
wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India
alikokuwa kwa ajili ya matibabu. Katikati ni Naibu Spika wa Bunge
Tulia Ackson.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269