Breaking News

Your Ad Spot

Jan 6, 2016

BALOZI WA UTURUKI NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

utr1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Nape Nnauye (kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Uturuki Bi. Yasemin Eralp, Balozi huyo alimtembelea Waziri Nape kwa ajili ya kuzungumzia ushirikiano wa Tanzania na Uturuki katika masuala mbalimbali ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
utr2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (kushoto) akizungumza jambo na Balozi wa Uturuki nchini Bi, Yasemin Eralp leo jijini Dar es salaam. Waziri Nape alimsihi Balozi uyo kuwekeza katika Nyanja mbalimbali za Filamu,Michezo na kubadilishana ujuzi katika sekta ya  Habari na kumwahidi ushirikiano ulio bora kati ya nchi hizo mbili.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages