Breaking News

Your Ad Spot

Jan 6, 2016

JPM AKUTANA NA JK IKULU KWA MAZUNGUMZO

 Rais,  Dkt. John Pombe Magufuli leo hii Januari 6, 2016, amekutana na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo walifanya mazungumzo. (Picha na Ikulu)

Rais  Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages