Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2016

MAJALIWA AONGOZA MBIO ZA "HAPA KAZI TU" ZA WABUNGE MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza mbio za  Wabunge  Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon zilizoanzia Bungeni hadi uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Januari  30, 2016. Kushoyo kwake ni Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na  Michezo, Nape Nnauye na kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia  Ackson. Mwansasu (Picha na Ofisi ya Waziri
Mbunge wa Mbulu  Vijijini,Fratei Massay akifanya mazoezi kabla ya kuanza mbio za Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Januari  30, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Pikipiki mshindi wa kwanza upande wa wanawake wa Mbio za Hapa Kazi Tu  Dodoma Half Marathon, Angela Davile (kulia) kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Januari 30, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi ufunguo wa pikipiki mshindi wa kwanza wa mbio za Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon  upande wa wanaume, Emmanuel Giriki kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, Kushoto kwake ni Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na  Michezo, Nape Nnauye
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Dodoma ambao wamedhamini  pambano la mpira wa miguu kati ya wabunge na benki hiyo kwenye uwanja wa Jamhuri Januari 30,2016. Benki hiyo  pia ilitoa vifaa vya michezo kwa timu ya Bunge. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages