Breaking News

Your Ad Spot

Jan 7, 2016

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU, MKAPA NA JAJI WARIOBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa kwenye mazungumzo na rais mstaafu, Benjamin Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam Leo Januari 7, 2016. Rais pia amekutana na Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Rais alikutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu Jakaya Kikwete Siku moja kabla ya kukutana na viongozi hapo.
Rais akiwa kwenye mazungumzo na Jaji Warioba

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages