Breaking News

Your Ad Spot

Jan 5, 2016

SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANOGA; DKT. SHEIN AZINDUA UJENZI WA WODI YA WATOTO NA UPANUZI WA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA Z'BAR


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akitoa nasaha zake kwa wananchi pamoja na wafanyakazi wa Hospitali ya mnazi mmoja katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Wodi ya Watoto na upanuzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja leo ikiwa ni  katika  shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(kulia), Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Bw.Jaap Frederiks. (Picha na Ikulu).


 Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo, akizungumzia upanuzi wa hospitali hiyo
 Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Bw.Jaap Frederiks, akizungumzia jinsi nchi yake ilivyofadhili mradi huo
 Dkt. Shein akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa wodi ya watoto

 Wageni waalikwa
 Dkt. Shein 9aliyenyoosha mikono), akikagua maendeleo ya upanuzi wa hospitali hiyo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages