Mbunge
wa Jimbo la Kinondoni Maulidi Mtulia akizungumza na Wananchi
waliowekewa Nyumba zao alama ya X mara baada ya shauri lao kusikilizwa
katika Makahakama ya Kitengo cha Ardhi Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA
KHAMISI MUSSA)
Wananchi
waliowekewa Nyumba zao alama ya X wakiagana na Mbunge wa Jimbo la
Kinondoni Maulidi Mtulia mara baada ya shauri lao kusikilizwa katika
Makahakama ya Kitengo cha Ardhi
Wananchi
wakiondolewa eneo hilo la mahakama na Askari mara baada ya kuongea na
Mbunge wao kuwapa matokeo ya maamuzi ya Mahakama hiyo ilivyotowa
maamuzi
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269