Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akimsalimia Josephine John
ambaye amelazwa katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma kwa matibabu. Alikuwa
katika ziara ya mkoa huo (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na bibi Antonia Moyo ambaye
alikuwa akipata matibabu katika chumba maalum cha waze katika hospitali ya mkoa
wa Ruvuma wakati alipoitembelea hositali hiyo akiwa katika ziara ya mkoa huo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Thabiti Mwabungu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na bibi Antonia Moyo ambaye
alikuwa akipata matibabu katika chumba maalum cha waze katika hospitali ya mkoa
wa Ruvuma wakati alipoitembelea hositali hiyo akiwa katika ziara ya mkoa huo, Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Thabiti Mwabungu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimsalimia mtoto Flora
Mapunda (1) ambaye amelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma ambayo
Waziri Mkuu aliitembelea na kuzungumza na watumishi akiwa
ktika ziara ya mkoa huo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (wapili kushoto) akizungumza na baadhi ya wananchi waliofika
kuwahudumia wagonjwa wao waliolazwa kwenye hospitali ya mkoa wa Ruvuma baada ya
kuitembelea akiwa katika ziara ya mkoa huo, kulia ni Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama na
Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabiti Mwambungu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea
wagonjwa kwenye hospitali ya mkoa wa Ruvuma wakati wa ziara yake ya
kikazi mkoani humo Januari 5, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (wapili kulia) kitembelea wagonjwa kwenye
hospitali ya mkoa wa Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani humo








No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269