Breaking News

Your Ad Spot

Feb 14, 2016

AGIZO LA RAIS LATEKELEZWA MUHIMBILI

 Baadhi ya vifaa mbalimbali na nyaraka mbalimbali zikiwa nje ya jengo lililoamriwa na Rais Magufuli kupisha. (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA)
 Nyaraka zikiwa ndani ya box gumu likiingizwa ngani ya Gari
 Baadhi ya wafanyakazi wakihamisha baadhi ya nyaraka zilizokuwa zikitumika katika ofisi hizo
 Wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiwa katika maadalizi ya kuandaa vitanda vya akina mama walio kuwa wakilala chini wakitekeleza agizo la Rais Magufuli 

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kushoto)  akiteta jambo na Profesa  Lawrence Museru wapili kushoto, na anaye fatia ni Mganga mkuu wa Serikali Muhammad Kambi na Katibu mkuu wa Wizara ya  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mpoki Ulisubisya
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakitoka ndani ya Jengo la Wazazi upande wa Kiliniki ya Afya ya Uzazi na Mtoto, ambapo wameweza kuweka vitanda vipatavyo 32


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages