Breaking News

Your Ad Spot

Feb 15, 2016

WAZIRI NAPE AMTEMBELEA ATHUMANI HAMS ALIYEKUWA MPIGAPICHA MKUU WA TSN

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye, akisalimiana na Athumani Hamisi alipomtembelea nyumbani kwake Sinza Madukani jijini Dar es Salaam.

Athumani Hamisi  alikuwa Mpigapicha Mkuu wa Magazeti ya Daily/Sunday News na Habari Leo, yanayomilikiwa na Serikali kupitia Shirika lake la Standard Newspapers, ambaye alipata ajali ya gari miaka kadhaa iliyomsababishia baadhi ya viungo vyake kutokufanyakazi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages