Breaking News

Your Ad Spot

Feb 5, 2016

MAADHIMISHO YA MIAKA 39 YA KUZALIWA CCM, JK ATUA SINGIDA

Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili mjini Singida jioni Februari 4, 2016 kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM yatakayofanyika kesho kutwa mjini Singida.

Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete salimiana na wananchi alipowasili mjini Singida jioni jana, kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM yatakayofanyika kesho  mjini Singida.
Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete salimiana na wananchi alipowasili mjini Singida jioni leo, kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM yatakayofanyika kesho  mjini Singida.

Akina mama wakicheza ngoma mbele ya Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete (kushoto).

Kikwete akiwapungia mkono wananchi
Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone. Kulia ni Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Kikwete akiwa na Nape, Kone na Kinana baada ya kuwasili
Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Singida, Said Amanzi.
Mke wa Rais, Salma Kikwete akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Singida, Said Amanzi
Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Kinana akijadiliana jambo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya kumlaki Mwenyekiti wa chama hicho, Jakaya Kikwete mjini Singida.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages