Breaking News

Your Ad Spot

Feb 2, 2016

SERIKALI KUWAPATIA WANAKIJIJI MICHE YA MITI BURE KUKABILI MAAFA YA UPEPO


Laigwanani wa mila, Saibulu Olemariki, (kulia) akimuonyesha   Mkurugenzi wa Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya baadhi ya ndizi zilizo katwa kwenye  migomba iliyoanguka kufuatia  upepo mkali ulioathiri shamba lake la ekari 3,  wakati  Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, ilipokuwa  ikikagua athari za maafa hayo   katika  kijiji cha Mungere, wilayani Monduli, tarehe 31 Januari , 2016. Mkurugenzi huyo amewaahidi wanakijiji wa kijiji hicho ambao wameathirika kutokana na hali hiyo, kuwapatia miche ya miti ili kukabiliana na athari hizo

Mkurugenzi wa Idara ya uratibu  maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya (kushoto), akimueleza jambo Laigwanani wa mila, Saibulu Olemariki mara baada ya  kukagua athari za upepo kwa mashamba ya migomba katika  kijiji cha Mungere, wilayani Monduli, tarehe 31 Januari , 2016

Laigwanani wa mila, Saibulu Olemariki akionesha  sehemu ya mgomba iliyoanguka  baada ya upepo mkali kuathiri shamba lake la ekari 3,  wakati  Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, ilipokuwa  ikikagua athari za maafa hayo   katika  kijiji cha Mungere, wilayani Monduli, tarehe 31 Januari , 2016



Laigwanani wa mila, Saibulu Olemariki akimuonesha   Mkurugenzi wa Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya baadhi ya ndizi zilizo katwa kwenye  migomba iliyoanguka  baada ya  upepo mkali kuathiri shamba lake la ekari 3,  wakati  Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, ilipokuwa  ikikagua athari za maafa hayo   katika  kijiji cha Mungere, wilayani Monduli, tarehe 31 Januari , 2016

Mkurugenzi wa Idara ya uratibu  maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya katika picha ya pamoja baada ya kukagua athari za upepo
Laigwanani wa mila, Saibulu Olemariki akimuongoza Mkurugenzi wa Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya kukagua athari za upepo  kwa mashamba ya migomba  kijiji cha Mungere, wilayani Monduli, tarehe 31 Januari , 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages