Breaking News

Your Ad Spot

Feb 29, 2016

SPIKA WA BUNGE MH. JOB NDUGAI AKUTANA NA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI LEO

J1
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh, Job Ndugai akizungumza na wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) hawapo pichani kutoka Tanzania wakati walipomtembelea katika ofisi zake zilizopo jijini Dar es salaam na kumpa salaam maalum za kumpongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kwake na watanzania na kuwa Rais wa Tanzania awamu ya Tano ikiwa ni pamoja na kupongeza utendaji kazi wake kwa ujumla wake.(PICHA NA JOHN BUKUKU- FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
J2
Baadhi ya wabunge wa bunge la Afrika Mashariki waliomtembelea Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai kutoka kulia ni Mh. Adam Kimbisa, Mh. Shy Rose Banjhi na Mh. Abdallah Mwinyi wakizungumza na Spika wa Bunge.
J3
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh, Job Ndugai kulia akizungumza na wabunge hao.
J5
Mkurugenzi wa Mhusiano ya Kimataifa ofisi ya Bunge Bw. Josey Mwakasyuka akijitambulisha katika mkutano huo.
J7
Mh. Shy Rose Banjhi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukutana na Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai kushoto ni Afisa habari wa Bunge Bw. Owen Mwandumbya

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages