Breaking News

Your Ad Spot

Mar 30, 2016

DKT. SHEIN AMUAPISHA BALOZI SEIF ALI IDDI KUWA MAKAMO WAKE WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimwapisha Makamo wake wa pili   Ikulu Mjini Zanzibar leo   (Picha na Ikulu, Zanzibar) 
Washauri wa Rais wa Zanzibar wa mambo mbali  mbali ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi  katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Mjini Unguja
Balozi Seif Ali Iddi  akielekea sehemu ya kula kiapo  kuwa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar  alipoapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika hafla   iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar
Balozi Seif Ali Iddi  akipeana mkono  wa hongera na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kumuapisha kuwa Makamo wa Pili

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)  akiwa katika picha ya pamoja na  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar  Balozi Seif Ali Iddi  na  Mama Asha Suleiman Iddi baada ya   kumuapisha  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar   katika hafla   iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi  akipeana mkono  wa hongera na  Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid baada ya kuapishwa kushika nafasi hiyo leo  Ikulu Mjini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages