Breaking News

Your Ad Spot

Mar 12, 2016

SPIKA AKUTANA NA WABUNGE KUTOKA UJERUMANI

Spika wa Bunge  Job Ndugai akimkabidhi zawadi Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani   Jens Koeppen.  Anayeshuhudia kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson. Wabunge hao walimtembelea Spika ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam

Spika wa Bunge  Job Ndugai akipokea zawadi Kutoka kwa Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani  Jens Koeppen. Wabunge hao walimtembelea Spika ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam
Spika wa Bunge  Job Ndugai akimsikiliza Kiongozi wa Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani  Jens Koeppen (wa pili kushoto) waliomtembelea Spika ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Naibu Spika Dkt Tulia Ackson na wa Kwanza kushoto ni Balozi wa Ujerumani nchini Bw. Egon Kochake.
Spika wa Bunge  Job Ndugai akiagana na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani  Jens Koeppen waliomtembelea Spika ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia wa kwanza kulia ni Naibu Spika Dkt Tulia Ackson na wa Kwanza kushoto ni Balozi wa Ujerumani nchini Bw. Egon Kochake.
Spika wa Bunge (wa pili kutoka kulia kwa walio kaa) akiwa katika picha ya Pamoja na Wabunge la Ujerumani waliomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha kutoka kulia ni Naibu Spika Dkt Tulia Ackson, Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani .  Jens Koeppen na Balozi wa Ujerumani nchini   Egon Kochake. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages