Breaking News

Your Ad Spot

Mar 12, 2016

RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA EPL LEO , MACHI 12


Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
Mchezo wa kwanza Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika uwanja wa Carrow Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45 kwa masaa ya Afrika Mashariki.
Michezo mingine ni;
Bournemouth – Swansea City 18:00 EAT
Stoke City – Southampton 18:00 EAT

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages