Mkuu wa Wilaya Iringa Richard Kasesela akihudhulia misa na kufika mazishi ya Brigedia Jenerali Galinoma yaliyofanyika Iringa.
Askari wa jeshi la wanachi JWTZ wakielekea makaburini
Askari wa jeshi la Wananchi JWTZ wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekua Brigedia Jenaral Galinoma.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akiongoza mazishi ya Brigedia Jenerali Galinoma.
familia ya marehemu wakiwemo watoto wakiweka shada .
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akitoa heshima zake za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa marehemu, aliyekua Brigedia Jenerali Galinoma.
Mazishi yakiendelea.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269