Gari lenye namba za usajili T 369 BUZ linalo milikiwa na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO) likiwa limeparamia kituo cha mabasi
baada ya gari hilo kukosa mwelekeo na kugonga
kituo hicho na kujeruhi abiria watatu waliokua kituoni hapo majira ya
Saa 2 usiku jana eneo la Mbuyuni, Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wananchi wakionyeshana kitu kinacho daiwa na wanachi hao kua ulikua mguu
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269