Breaking News

Your Ad Spot

May 30, 2016

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA, RAJAB LUHWAVI MKOANI MANYARA, AKUTANA NA MKUU WA MKOA HUO NA KUZUNGUMZA NA WATUMISHI WA CCM NGAZI ZA WILAYA

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Manyara, Luccas Ole Mukusu, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa huo Ndegesu Ndekobali. 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na baadhi ya watumishi wa CCM mkoa wa Manyara, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa huo Ndegesu Ndekobali. 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati  leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati  leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa, mjini Babati leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Afisa Tawala wa mkoa huo, Eliakim Maswi.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa, mjini Babati leo Mei 30, 2016. 
Katibu wa CCM wa mkoa wa Manyara Ndekobali akishukuru baada ya mazungumzo hayo
wakiagana baada ya mazungumzo
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akiagana na Afisa Tawala wa mkoa wa Manyara Eliakim Maswi baada ya mazungumzo na mkuu wa mkoa huo Joel Bendera (Katikati), alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa, mjini Babati leo Mei 30, 2016.

AKAGUA JENGO LA OFISI YA CCM LILILOUNGUA MWEZI MACHI MWAKA HUU
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) apata maelezo kutoka kwa Katibu wa CCM mkoa wa Manyara, Ndegesu Ndekobali, alipokagua athari za kuungua jengo la CCM mkoa huo, lililopo mjini Babati. Jengo hilo liliungua Machi 7 mwaka huu.
Luhwavi akimaliza kukagua jengo hilo
Baadhi ya viongozi wa CCM wakimkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajabu Luhwavi kuzungumza nao leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara mjini Babati
Luhwavi akiingia ukumbini
Luhwavi akiwa tayari ukumbini
Katibu wa CCM wa mkoa wa Manyara, Ndekobali akitoa neno la utangulizi
Baadhi ya watunishi wa CCM kutoka wilaya za mkoa wa Manyara wakimsikiliza Luhwavi
Masoud Mbengua kutoka Kitengo cha Usalama na  Maadili, Makao Makuu ya CCM akizungumza kwenye kikao hicho
Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Manyara akimkaribisha Luhwavi kuzungumza
Baadhi ya wafanyakazi wakichukua dondoo, wakati Luhwavi akizungumza nao. (Picha zote na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages