Breaking News

Your Ad Spot

May 9, 2016

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI MHANDISI JOHN KIJAZI AFUNGUA MKUTANO BAINA YA UJUMBE WA CHINA, ZAMBIA NA TANZANIA KUBORESHA RELI YA TAZARA DAR ES SALAMA LEO

  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi, akizungumza na waandishi wa habari ( pichani hawapo) Mara baada ya kufungua Mkutano baina ya ujumbe wa China, Zambia na Tanzania kukubaliana utaratibu wa kuboresha Rali ya Tazara , Dar es Salaam jana (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA)

 Katibu wa Baraza la Mawaziri la Zambia Dkt. Rowland Msiska akiwasilisha mada kwa wajumbe wa mkutano wa kikao kazi ulioshirikisha nchi tatu za Zambia, China na Tanzania  kuhusu  kuimarisha miundombinu ya  reli ya Tazara kufanya kazi kwa ufanisi na kukuza uimarishaji uchumi wa nchi washiriki, jijini Dar es Salaam.

Katibu wa Baraza la Mawaziri la Zambia Dkt. Rowland Msiska, akizungumza na waandishi wa habari baada ya mkutano huo kufunguliwa na  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages