Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt. Tulia Ackson
(kulia) akizungumza jambo na Waangalizi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana (2015), kutoka Umoja wa Ulaya.
Judith Sargentini (kushoto) na Balozi wa Umoja huo . Roeland Van De
Geer (katikati) waliofika Ofisini kwake Dodoma leo Mei 31, 2016.
Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson
akiwasikiliza waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya (EU)
waliofika Ofisini kwake kuwasilisha Taarifa ya Umoja huo kuhusu Uchaguzi Mkuu
uliofanyika nchini Oktoba 25, 2015.
Waangalizi
wa Uchaguzi Mkuu kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) wakizungumza na Naibu Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson (hayupo pichani)
ofisini kwake Dodoma.
Balozi
wa Umoja wa Ulaya Mhe. Roeland Van De Geer (kulia) akimkabidhi Naibu Spika wa
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Tulia Ackson Taarifa ya
miradi inayotekelezwa na Umoja wa Ulaya nchini Tanzania.
Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka
Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) waliomtembelea Ofisini kwake leo mjini Dodoma. (PICHA NA ARON MSIGWA NA FATMA SALUM-MAELEZO).
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269