Breaking News

Your Ad Spot

May 7, 2016

SEMINA YA UELEWA KUHUSU HAKI ZA WATOTO KWA WABUNGE YAFANYIKA DODOMA

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Dk Abdallah Possi (kulia), akiwasilisha mada katika semina ya Wabunge kukuza na kuimarisha usawa wa watu wenye ulemavu nchini, kwenye Ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bukene, Seleman Zedi (CCM) na Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akifungua semina hiyo

Baadhi ya wabunge wakihudhuria kwenye semina hiyo
Zedi akiongoza majadiliana wakati wa semina hiyo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages